Inside the Ksh.17.2 Billion Oil Saga: Anne Njeri’s Revelations on High-Level Government Meetings
This road leads us to the supposed hideout of Anne Njeri Njoroge, the woman at the center of the 17.2 billion shilling imported oil consignment.
โHii si makao yangu โฆNiko hapa mafichoni kutokana na yale yanaendelea. Mimi ni Mkenya. Nakaa Nairobi. Been in oil business for 33 years. Ni pesa zangu. Sikupewa na serikali,โ she tells Citizen TV.
So, how did the events that catapulted her to headline news begin?
โNilipigiwa Simu tarehe 4 Mwezi huu . Nilienda kuripoti. Niliambiwa nikuje na court order. Wakasema mafuta ni ya Galana. Nilienda Kwa Chirchir 8th Wednesday. Tulizungumza na Yeye na nikampaa documents. Akasema mafuta ni ya Galana. Kama ni ya Galana Mbona hakumwaga for one month? Ilikuwa Mara ya kwanza kukutana na Yeye,โ she narrates.
The meeting with CS Chirchir was triggered by the dispute over ownership of the consignment and more influential individuals were drawn into the conversation.
โJeremiah Serem alinipea appointmentโฆna akasema nakutana na Sudiโฆ Four of us. Tuliongea lakini kulikuwa na tension wakati nili sema mafuta Sio yangu. Wakati kulikuwa na ubishi kwamba mafuta ni ya G to Gโฆnilileta mafuta Kama Private importer โฆnikasema simjui. Chirchir alisema niende nimuone Amani tukiwa watu wanne..akasema tumuone mdogo wake,โ Ms Njoroge says.
โMtu wa kwanza kukutana na Yeye Nairobi ilikuwa Jeremiah Serem โฆjioni tukapata appointment ya kumuona Chirchir. Tulipata Oscar Sudi Kwenye ofisi ya Chirchir. Tuliambiwa Sudi anashikilia brief ya Ofisi kubwa.โ
Attempts to get responses from the persons mentioned by Anne Njeri were futile as our calls and text messages went unanswered.
Njeri narrated her five-day kidnap ordeal claiming she was forced at gunpoint to renounce her claim of the 17.2 billion shillings diesel.
โNiliemda DCI as a complaint. Wakati nikimaliza statement โฆniliambiwa ningojeโฆnikasubiri hadi saa tatu usiku ..nikaambiwa niende pekee yangu ..sikuwa nimekula the whole day โฆwakaniambia tutoke โฆtukashuka chini โฆwakanipeleka njeโฆtukaenda parking ..wakaniambia ni relax..kwenye gari wakaniambia ni cooperate โฆwakaniambia niwekee passwordโฆgari ikaelekea Kiambu road..nikauliza tunaenda wapi,โ she says.
โNikaanza kuwaomba Mimi ni mama Niko na Watoto โฆnikaomba msiniuwee..wakasema hakuna shidaโฆnilikuwa kwenye uwoga Mwingi sana โฆnikawaambia sijakosea serikali..nikawaambia kwamba Pia nyinyi mko na familiaโฆwakasimama wakageuka.
โGari ingine ikakuja..gari kubwaโฆwakanifunga macho โฆna gari Ikaanza kwenda ..ilikuwa rough road ..nilikuwa naomba nikiwasihi wasiniueeโฆnikaingizwa kwenye nyumba nikafunguliwa machoโฆnikapata mattress pekee โฆwakasema hii ndiyo Nyumba yako.
She further narrates her experience in the hands of the alleged kidnappers, saying โWakanipa chakula nikakataaโฆhata maji nikakataa..nili sema nafunga ..keshoye waliniletea fruits mingi na coffee โฆwahudumu walikuwa wamejifunika na silaha..nikikataa kwenda kujisaidia nikiogopa nitauwawa. Ilibidi nijikaze mkojoโฆnikajikojolea kabisaโฆhakuna mtu alikuja kunisaidia..nikaambiwa niseme Ukweli ka Sivyo hiyo itakuwa siku yako ya mwishoโฆwatu wawili walinihoji..wakaniambia wanaenda kufanya uchunguzi wao..nikafungwa machoโฆwakaniacha Embakasi saa tatu usiku..walinirudishia Simu wakati huo โฆnilichukuliwa asubuhi na lawyer. Tukaenda Mombasa mahakama. Waliniambia ni drop hiyo kesi ..nikasema ni ngumu Kwa sababu mafuta ni yangu..nikasema wakili atanipa Mwale Leo.โ
Njeriโs lawyer, Cliff Ombeta, has confirmed that her client had been summoned to surrender herself at the DCI Headquarters by Saturday noon 19th November, to be granted a police bond.
โSheโs being hunted yet she is the complainant. Anne has been instructed to appear to DCI to be given a bond of 100kโฆwhy now? Sheโs not a suspect. She was with her for 5 days. They released her on condition she withdraw her case. This is meant to prevent her from appearing before the Parliamentary Committee. She might never reach parliament,โ he says.
โDCI approached my colleague’s lawyer. Instructing Anne to appear at DCI HQ by 12 pm today. This is a well-crafted game by state officers & cartels in government. Why was she locked up yet she is a complainant? You complain but you are the one in custody. KPA cannot establish fake documentationโฆwho is the complainant? The Government stole Anneโs fuel. What is Murkomen talking about? It was 100,000 metric tonnes. Not 93,000 as claimed by Chirchir. I think they are the gatekeepers in this deal.โ
Anne Njeri โs 17 billion oil claim has sent tongues wagging with Azimio leader Raila Odinga publicly casting doubt on her financial capacity.
Njeri notes; โMwenye pesa sijui ama sura gani. Mwenye pesa hajitambuiโฆhaina haja ya kujiinua..ni mwenye I Mungu tu Ana jua. Mwenye pesa hajionyeshi.โ
Njeriโs mother has also thrown spanners in the works saying she has not seen her daughter for over 6 years and that she never knew Ann Njeri was wealthy.
Ms Njoroge who denies any oil importation dealings with both President William Ruto and former president Uhuru Kenyatta during his 33 years in oil entrepreneurship, says she will not bow down but soldier on in a bid to get Justice & compensation for her 100,000 metric tonnes worth of fuel.
Inside the Ksh.17.2 Billion Oil Saga: Anne Njeri’s Revelations on High-Level Government Meetings